Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai 8, 2021

MAAMBUKIZI YA SIKIO KWA WATOTO

Picha
  MAAMBUKIZI YA SIKIO KWA WATOTO July 8, 2021 M AAMBUKIZI   au Infection ya masikio ni tatizo kubwa kwa watoto, sikio limejigawa sehemu kuu tatu ya ndani, nje na kati.    Matatizo mara nyingi yanashambulia sehemu ya kati ya sikio (Otitis media) inashambulia watoto wachanga na watoto wadogo na nyingine ni sehemu ya ndani ya sikio (Otitis externa). Hii inawashambulia sana wale wanaoogelea mara kwa mara na pia linajitokeza kipindi cha baridi. Inakuwa ngumu mzazi kujua chanzo chake, kuna baadhi ya wazazi wanadharau kufuatilia tiba yake, mwishowe masikio ya mtoto hutoa usaha mzito na harufu kali na kumpelekea kuwa na tatizo la kutokusikia vizuri. Hili tatizo linawashambulia sana watoto walio chini ya mwaka mmoja kwa asilimia 50, watoto walio na miaka mitatu na kuendelea kwa 70 na kwa watu wazima ni kwa asilimia 30. Husababishwa na bakteria au virusi wanaoshambulia kwenye ngoma ya sikio (ear drum). Kuna sababu tofauti zinazochangia mtoto kupata infection ya sikio baada ya ...