Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba 10, 2021

MWANA MPOTEVU.

Picha
  MWANA MPOTEVU. Luka 15:11-32 “ Akasema, Mtu Mmoja Alikuwa Na Wana Wawili; Yule Mdogo Akamwambia Babaye, Baba, Nipe Sehemu Ya Mali Inayoniangukia. Akawagawia Vitu Vyake. Hata Baada Ya Siku Si Nyingi, Yule Mdogo Akakusanya Vyote, Akasafiri Kwenda Nchi Ya Mbali; Akatapanya Mali Zake Huko Kwa Maisha Ya Uasherati…….. ” Mwana Mpotevu Alichukua Sehemu Ya Mali Inayomuangukia Na Kuondoka Nayo Lakini Pia Alidhani Akiondoka Na Hiyo Mali Atakenda Kufanikiwa, Baba Yake Alipompa Hiyo Mali Alikuwa Na Tumaini Kuwa Atazalisha Na Kupata Faida, Lakini Ikawa Ni Kinyume Chake Kwa Maana Aliitapanya Hiyo Mali Na Akaishia Kula Na Nguruwe. Maisha Ya Mwana Mpotevu, Hakujali Ubaadae Wa Kesho Yake, Bali Alichojali Ni Kile Alichokipata Na Kukitumia. Mwana Mpotevu Aliijua Nafasi Aliyonayo Kwa Baba Yake Na Ndio Maana Akaenda Na Kudai Haki Yake. Sifa Za Mwana Mpotevu: 1. Alikuwa Ni Mtu Wa Kuzingatia, Alijua Kwa Baba Yake Kuna Kila Kitu Na Yeye Ni Sehemu Ya Hiyo Mali, Akilini Mwake Alijua Kuwa Lazima Ach...