Machapisho

Italia 3-2 kupitia penalti

Picha
  Italia 3-2 kupitia penalti CHANZO CHA PICHA, GETTY IMAGES Matumaini ya kumaliza ukame wa miaka 55 bila taji kubwa yalivunjwa jana kwa kushindwa na Italia kupitia mikwaju ya Penalti na kuipa Italia ushindi wa kombe la Euro 2020 uwanjani Wembley Italy, ambao hawajashindwa katika mechi 33 kabla ya fainali walijirejesh polepole mchezoni na wakasawazisha katika dakika ya 67 baada ya England kutangulia kufung mapema katika kipindi cha kwanza . Baada ya kipindi kigumu cha muda wa ziada ,mshindi hakupatikana timu hzo zilipotoka sare ya bao moja na ikalazimu mikwaju ya penalti kutumiwa kumpata mshindi .Huo ndio uliokuwa mwanzo wa mafadhaiko ya kocha Gareth Southgate na wachezaji wake walioingia fainali kwa matumaini makubwa . England ilikosa kufunga mikwaju mitatu ya penalti kati ya mitano waliopewa huku wachezaji Marcus Rashford ,Jadon Sancho na Bukayo Saka wakikosa kufunga Harry Kane na Harry Maguire waliifungia England ilhali Pickford mikwaju ya Andrea Belotti na Jorginho ilhali Domeni...

Soka Ulaya Jumatatu 12.07.2021

Picha
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 12.07.2021 CHANZO CHA PICHA, GETTY IMAGES Kocha wa Everton Rafa Benitez amewahimiza wakuu wa klabu kumsajili mlinzi wa kati wa Napoli, Msenegali Kalidou Koulibaly, 30. (90min) Napoli   wanalenga kuwaachilia   Koulibaly, halikadhalika kiungo wa kati wa   Uh ispania Fabian Ruiz, wakati wakijaribu kupunguza   fedha zinazotumiwa kuwalipa mishahara wachezaji   , hata hivyo hawajapokea ofa yoyote kwa wachezaji hao. (Calciomercato - in Italian) Mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi yuko mbioni kusalia na Barcelona, huku mchezaji huyo mwenye miaka 34 akitarajiwa kusaini mkataba na klabu   hiyo   ya Catalonia. (AS) CHANZO CHA PICHA, GETTY IMAGES Mshambuliaji wa Manchester City Gabriel Jesus, 24, anasalia kuwa pendekezo la kwanza la Juventus wakiwa na nia ya kuimarisha safu ya ushambuliaji msimu ujao, lakini kumrejesha Moise Kean Turin kutoka Everton ni suala la hiari. (Tuttosport - in Italian) Matumaini ya Arsenal kumsajili mlinda...

siri ya mafanikio ya mtu tajiri zaidi duni

Picha
  Ijue siri ya mafanikio ya mtu tajiri zaidi dunian CHANZO CHA PICHA, GETTY IMAGES Mwaka 2004, Jeff Bezos na mshauri wake wa masuala ya kiufundi Colin Bryar walisafiri pamoja hadi mji wa Tacoma, umbali wa saa moja kusini mwa jiji la Seattle jimbo la Washington. Wakati huo, thamani ya kampuni ya Amazon ilikuwa mabilioni ya dola. Hata hivyo, walikuwa wanaelekea katika kituo cha kuhudumia wateja cha kampuni hiyo - kwa siku mbili walifanya kazi kama watoa huduma kwa wateja. "Jeff alikuwa akipokea simu zinazopigwa na wateja yeye mwenyewe," Bryar anasema. Anakumbuka malalmiko ya moja ya bidhaa yalivyokuwa yakiendelea kuripotiwa kila wakati. "Jeff alishituka. Macho yalimtoka." Bezos alikuwa ametatizika. Bila shaka yoyote bidhaa hiyo ilikuwa na hitilafu, lakini suala hilo halikuripotiwa katika ngazi za juu. Baadaye siku hiyo hiyo, alituma ujumbe kwa njia ya barua pepe akitaka apewe mapendekezo ya namna gani ya kuripoti bidhaa zenye matatizo sokoni.Bezos anajiuzulu wadhifa w...