Yanga vs Geita


 Hatua ya Robo Fainali Kombe la Azam Sports Federation kukamilika kupigwa leo 


Saa 2:00 Usiku, mabingwa watetezi Yanga SC watakuwa uwanja wa Azam Complex wakiwakaribisha Geita Gold


Je, Wachimba dhahabu kuwatupa nje wananchi ama ama Yanga kwenda nusu fainali kuungana na Singida Big Star, AzamFC na Simba??

Maoni