Yanga vs Geita
Hatua ya Robo Fainali Kombe la Azam Sports Federation kukamilika kupigwa leo
Saa 2:00 Usiku, mabingwa watetezi Yanga SC watakuwa uwanja wa Azam Complex wakiwakaribisha Geita Gold
Je, Wachimba dhahabu kuwatupa nje wananchi ama ama Yanga kwenda nusu fainali kuungana na Singida Big Star, AzamFC na Simba??
Maoni