Machapisho

WANAWAKE KUWA WACHUNGAJI

  Mistari muhimu ya kukumbuka:- 1 WAKORINTHO 14:34-36:- 34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo. 35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa. 36 Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu? 1 TIMOTHEO 2:11-12:- 11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna. 12 Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. Katika sehemu ya kwanza ya somo hili lilopita tuliona na kuchambua juu ya hoja potofu zinazotumiwa na watu kuhusu mwanamke kutokuwa Mchungaji au Muhubiri. Tulijiona usahihi wake na kujifunza mengi juu ya suala hilo katika kipengele hicho. Lakini leo tunamalizia juu ya hoja yao nyingine potofu na kupiga hatua tena kumalizia vile vipengele vilivyosalia. HOJA YAO YA TATU . Watasema, Katika wale mitume 12 wa Yssu . Hatuoni mahali popote ambapo Yesu alic...

Ujenzi Wa kisasa.

Picha
 Jichagulie aina ya nyumba unayotaka nasisi tutakijenea Kwa gharama nafuu kabisa

RAMANI NA DESIGN MPYA ZA NYUMBA ZA KISASA

Picha